Program Tumizi ya MS-Excel 2019

Utunzaji wa takimwi katika biashara na maisha ya kawaida ndio msingi mkubwa wa mafanikio. Kutunza takimwi kwa njia za karatasi na kuzichakata kwa njia ya mkono hutumia muda mwingi na huenda ikaleta gharama kubwa sana katika Tasisi ama kwa mtu binafsi. Programu Tumizi ya MS-EXCEL 2019 ni maalumu katika uchakataji wa takwimu ili kuzituza ama kutupatia taarifa muhimu kwa ajili ya biashara, tasisi ama mtu binafsi. Katika kozi hii tutajifunza namna ya kutumia excel katika matumizi ya msingi na pia matumizi makubwa ama endelevu. Malengo yetu ni kumuezesha mshiriki arahisishe kazi ya kutunza na kuchakata takwimu ili kupata taarifa muhumu za maisha yake ama Tasisi anayo isimamia

Intermediate 2(1 Ratings) 18 Students enrolled
Created by Frederick Msangi Last updated Mon, 10-Jun-2024 Swahili
What will i learn?
  • Kuwezesha washiriki wote kutumia programu tumizi ya Ms-EXCEL 2019 kwa usahihi.
  • Kuongeza ufanisi wa washiriki katika biashara, kazi na kwenye shughuli zinginezo
  • Kuwapa uwezo washiriki wa kuandika na kutunza taarifa mbalimbali.
  • Kuongeza ubora katika uandishi wa ripoti zinazo hitaji tarifa za kitakwimu kwa mfano matoke ya wanafunzi ama taarifa za kibishara.
  • Kumuezesha mshiriki kutumia huduma zinazotolewa na Ms-Excel: Kuchora chati mbali mbali ;Kutumia kanuni za kihesabu; Kutengeneza fumu mbali mbali kama fumu za mikopo n.k.

Curriculum for this course
39 Lessons 06:41:08 Hours
Utangulizi wa Programu Tumizi ya Ms-Excel 2019 (Introduction to Ms-excel 2019)
11 Lessons 01:59:32 Hours
  • Somo_01_01 Muonekano wa Jumla wa Programu (Excel 2019 Program Window) 00:11:02
  • Somo_01_02 Tabia za Safu Wima na Safu Ulalo (Properties of Column Vs Row) 00:12:32
  • Somo_01_03 Menyu Nyumbani: Maandishi na Mpangilio (Home Tab: Font and Alignments ) 00:11:07
  • somo_01_04 Maandish na Mpangilio (Font and Alignment) 00:07:09
  • Somo_01_05_Kuunga Sell (Cell Merge And Alignment) 00:09:34
  • Somo_01_06 Namba na miundo ya Seli ( Number Or Cell Format) 00:10:30
  • Somo_01_07 Namba na Muundo wa Seli Somo la 02 (Number Or Cell Format 02) 00:14:27
  • Somo_01_08 Kuweka Kanuni (Insert Formula in Excel) 00:14:24
  • Somo_01_09 Kuweka Kanuni_02 (Insert Formula 02) 00:09:43
  • Somo_01_10 Kuweka Kanuni (Insert Function 03) 00:08:02
  • Somo_01_11 Kutafuta na kubadili (Find and Replace) 00:11:02
  • Somo_02_01 Kuunda Seli kwa Mashart (Conditional Formatting) 00:08:52
  • Somo_02_02 Kuunda Seli kwa Mashart 02 (Conditional Formatting 02 ) 00:05:45
  • Somo_03_01 Utangulizi kuhusu Jedwali ( Introduction to Excel Table) 00:12:00
  • Somo_03_02 Vigawe_Vya_Jedwali (Table Slicer) 00:10:19
  • Somo_04_01 Kuweka Chati ( Insert Chart) 00:13:46
  • Somo 04 02 Kuweka Chati 02 ( Insert Chart 02) 00:14:45
  • Somo_04 _03 Chati za Milinganyo (Graph for Solving Polynomial) 00:06:29
  • Somo _ 05_ 01 Mpangilio Wa Kurasa (Page Layout) 00:08:26
  • Somo_05_02 Mpangilio wa Kurasa: Kutoa Nakala (Pitting Preview) 00:11:12
  • Somo_06_01 Utangulizi Kanuni za Programu ya Excel (Introduction to Excel Functions) 00:08:07
  • Somo_06_02 Kanuni za Trigonomentria (Trigonometry Functions ) 00:05:49
  • Somo_06_03 Kanuni za Milinganyo ( Excel Functions for Polynomials) 00:07:40
  • Somo_07_01 Kanuni za Kimantiki ("IF", "OR" AND LOGIC FORMULA (A)) 00:12:30
  • Somo_07_01(B) Kanuni za ''IF na "IFS" (NESTED IF & IFS) 00:13:32
  • Somo_07_02 Kutengeneza Hati ya Malipo (Creating Invoice using Logic Formula) 00:08:00
  • Somo_07_03 Kutengeneza Hati ya Malipo 02 (Creating Invoice using Logic Formula 02) 00:13:43
  • Somo_07_04 Kutengeneza Hati ya Malipo 03 (Invoice Logic Last 03) 00:07:31
  • Somo _ 08_01 Kanuni ya Kuchagua (CHOOSE Function) 00:10:43
  • Somo_08_02 Kanuni ya VLOOKUP ( VLOOKUP Function) 00:05:57
  • Somo_08_03 Kanuni ya Hlookup ( HLOOKUP Function) 00:05:42
  • Somo_09_01 Kuuga ama Kutenga Maandishi (Text To column) 00:06:45
  • Somo _09_02 Kuuga ama kutenga maandishi (Text To column) 00:11:07
  • Somo_09_03 Kanuni za Maandishi (Text Functions) 00:12:03
  • Somo_10_01 Utangulizi Kanuni za Tarehe (Date Functions) 00:13:30
  • Somo_10_02 Matumizi Kanuni za Tarehe (Applications of Date & Time Functions ) 00:18:30
  • Somo_11_01 Uchenjuzi waTaarifa (Filter Data) 00:12:02
  • Somo_11_02 Kanuni ya Vipi kama? (What if function ? ) 00:09:20
  • Somo _11 _03 Kanuni ya Vipi 02 (What if in Scenarios) 00:07:31
Requirements
  • Uwe na ujuzi wa awali wa kompyuta
  • Uwe unaulewa kidogo wa programu tumizi zingine za MS-office
+ View more
Description


+ View more
Other related courses
05:43:12 Hours
Updated Mon, 10-Jun-2024
3 15 Free
07:46:10 Hours
0 17 Free
About the instructor
  • 2 Reviews
  • 25 Students
  • 3 Courses
+ View more

Habari:

         Mimi ni Mwl Frederick Julius Msangi, ni Madhiri Msadizi chuo Kikuu cha Dodoma na nina udhoefu wa kufundisha katika ngazi hii ya Elimu kwa zaidi ya miaka kumi.  Nimebobea katika Maswala ya Elimu ya aulimu, ufundishaji, ujifunzaji na saikolojia.  Kwa sehemu, kwa zaidi ya mika nane sasa nimeshiriki katika kufundisha ya elimu ya awali ya TEHEMA (ICT Proficiency Course) kwa wanafunzi wa chuo na washiriki mbali mbali kutoka nje ya chuo.


       Nikukaribishe sana katika kujifunza mtandaoni. Mafunzo haya yanatolewa na wabobezi katika maeneo mbali mbali. Niwakaribishe sana katika mafunzo haya, gharama yake ni ndogo sana ukilinganisha na ubora wa mafunzo. Tutakuwa tayari kurejesha fedha kwa ambaye hataridhika na ubora aliyotegemea katika mfunzo haya kama atatoa taarifa hiyo mapema. Piga simu +255655637188 kwa maelezo zaidi. Karibu sana DONE Co LTD. 


 

Student feedback
2
Average rating
  • 0%
  • 100%
  • 0%
  • 0%
  • 0%
Reviews
  • Sun, 16-Jun-2024
    BULUBA NHELEMBI
Free
Includes:
  • 06:41:08 Hours On demand videos
  • 39 Lessons
  • Access on mobile and tv
  • Full lifetime access
  • Compare this course with other